JIPATIE TSHIRTS KUTOKA TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE
TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE
ADMINISTRATION AND FOUNDER OF TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE WORD OF GOD TO STANDWITH
SCRIPTURE TO STANDWITH:
John 4:24, “God is Spirit and seeks for those who worship Him in the Spirit and Truth……”
Tanzania worship experience is a team of five persons who had this vision since 2005 pioneered by Billionaire Festo Mkeu, the Managing Director of Universal Ink, the company in charge of undertaking all activities pertaining to Tanzania Worship experience team. The five are; Biliionaire Festo Mkeu (the visionary); Pastor Charles Kuya Mbogoma, Spiritual Guardian/accountant; Mosses Makaranga, Chairman of the team; Emmanuel Mabisa, Music Director; Rulea Sanga, IT consultant and Mr. Nasobile, logistic. Eventually the vision came to pass May 2012.
Friday, June 15, 2012
Thursday, June 14, 2012
KIKAO CHA TANO CHA TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE CHAFANYIKA MLIMANI CITY SIKU YA JANA
Hapa ni katika hotel ya The Atriums ambapo mashindano hufanyiaka
Tanzania Worship Experience ni project iliyojikita kutafuta waimbaji wa nyimbo za injili hasa upande wa waabudishaji ( wanaoimba nyimbo za kuabudu). Project hii imeshamaliza hatua ya kwanza ambapo ilikuwa inatafuta watu 9 kutoka katika kila wilaya za mkoa wa Dar es Salaam ambazo ni Ilala, Temeke na Kinondoni. Mpaka sasa wameshapatikana washindi 24. Siku ya Jumamosi kutakuwa na mchakato wa kuwachuja wale 24 na kubaki na washindi 14, na hili zoezi litaendelea wiki zinazofuata mpaka siku ya mwisho kuwapata washindi watatu.
Katika kikao hicho kilichofanyika Mlimani City kilizungumzia hasa jinsi mambo yatakavyokuwa siku ya Jumamosi ya wiki ijalo.
Hapa ni katika hotel ya The Atriums ambapo mashindano hufanyiaka
Tanzania Worship Experience ni project iliyojikita kutafuta waimbaji wa nyimbo za injili hasa upande wa waabudishaji ( wanaoimba nyimbo za kuabudu). Project hii imeshamaliza hatua ya kwanza ambapo ilikuwa inatafuta watu 9 kutoka katika kila wilaya za mkoa wa Dar es Salaam ambazo ni Ilala, Temeke na Kinondoni. Mpaka sasa wameshapatikana washindi 24. Siku ya Jumamosi kutakuwa na mchakato wa kuwachuja wale 24 na kubaki na washindi 14, na hili zoezi litaendelea wiki zinazofuata mpaka siku ya mwisho kuwapata washindi watatu.
Katika kikao hicho kilichofanyika Mlimani City kilizungumzia hasa jinsi mambo yatakavyokuwa siku ya Jumamosi ya wiki ijalo.
TANZANIA
WORSHIP EXPERIENCE inawaomba Watanzania kuhudhuria katika siku hiyo ya
Jumamosi na kushiriki katika upigaji kura, na mtatangaziwa jinsi ya
kupiga kura kwa kupitia mitandao mbalimbali na vyombo vyombo vya
habari. Zoezi zima litafanyoika katika hoteli ya The Atriums Sinza
Afrikasana kuanzia saa 3:00 asubuhi.
Lengo la project ni kumuinua Mungu kwa njia ya uimbaji wa nyimbo za kuabudu
Lengo la project ni kumuinua Mungu kwa njia ya uimbaji wa nyimbo za kuabudu
Rulea Sanga ni IT Manager kayika project ya hii TWE na ndiye anayesambaza habari za Tanzania Worship Experience katika mitandao mbalimbali
Saturday, June 9, 2012
TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE YAZIDI KUPAA JUU KWA KUTAFUTA WAABUDUAJI
Kama kawaida leo Katika katika Hotel Ya Atriums maeneo Ya Sinza Africasana limefanyika tena shindano la Kusaka Kipaji Cha Mwabudishaji katika Wilaya ya Ilala na Temeke na Washindi 18 wamepatikana 9 kutoka wilaya ya Ilala na 9 kutoka Temeke.
Blog ilikuwepo kuwasilisha kama Kawaida.
(KUMBUKA: Bango la limetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 | www.rumaafrica.blogspot.com | rumatz2011@yahoo.com)
KUTOKELEA KABLA YA SHOW
Mbeba Maono ya Worship Experience na Main Sponsor a.k.a Bilionea akiwa na Judge wa Kiume
KIPINDI CHA KUJISAJILI
Mwenyekiti, Makaranga wa pili kulia akihakikisha majina kama yako sawa
Usajili unaendelea
Dada Mligo ni mlemavu wa macho akipelekwa kujisajili
Kupitia TWE watu walijuana majina
Washiriki Wakisalimiana
Watu wakiwa Wanahojiwa
Mchungaji Charles Mbogoma akisalimia na waabuduo wa baadae
MAOMBEZI YA KUFUNGUA MCHAKATO
Subscribe to:
Posts (Atom)