TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE

TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE
Tanzania worship experience is a tittle for a program which aim at finding gifted, talented , available and teachable worshipers so as to revaitalise the worship experience in Tanzania.

ADMINISTRATION AND FOUNDER OF TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE WORD OF GOD TO STANDWITH

SCRIPTURE TO STANDWITH: 


John 4:24, “God is Spirit and seeks for those who worship Him in the Spirit and Truth……” 

Tanzania worship experience is a team of five persons who had this vision since 2005 pioneered by Billionaire Festo Mkeu, the Managing Director of Universal Ink, the company in charge of undertaking all activities pertaining to Tanzania Worship experience team. The five are; Biliionaire Festo Mkeu (the visionary); Pastor Charles Kuya Mbogoma, Spiritual Guardian/accountant; Mosses Makaranga, Chairman of the team; Emmanuel Mabisa, Music Director; Rulea Sanga, IT consultant and Mr. Nasobile, logistic. Eventually the vision came to pass May 2012.

Saturday, May 26, 2012



TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE KUMPATA MSHINDI WA "KUABUDISHA" KATIKA HOTEL YA THE ATRIUMS SINZA AFRIKASANA  SIKU YA JUMAMOSI 26 MEI 2012

Zoezi hili limeanza saa tatu ya siku ya leo kuwatafuta washindi wa uimbaji wa nyimbo za kuabudu za dini katika wilaya ya kinondoni. Washiriki wako 36 na wanatoka katika makanisa tofauti tofauti ya Kikristo Tanzania.

Baada ya kumalizika zoezi hili litahamia wilaya zingine za mkoa wa Dar es Salaam (Ilala na Temeke). Mahali patakuwa The Atriums Hotel sinza Afrikasana

Mchungaji Charles Mbogoma (kulia) akiwa kazini
Stage kwaajili ya waimbaji
Mtoto na mchungaji wa Mchungaji Mbogoma akilifunga banner
Wahudumu wa The Atriums Hotel wakiwa katika maandalizi
Kazi ya Mungu inasonga na wale wampendao
Blogger na Design, Rulea Sanga akikurushia matukio. Kumbuka hilo bango ndiye aliyelitengeneza..Ukiwa na kazi yoyote ya design unaweza kukutana nami kwa +255 715 85 15 23

  


 Blogger Samsasali akitupia vitu katika blog yake ya www.samsasali.blogspot.com
 Mwenyekiti Makaranga akiwaandikisha washiriki
 Mchungaji Charles Mbogoma (kushoto) akifuatilia uandikishaji
 Washiriki
Mwenyekiti Makaranga akigawa kadi za washiriki



Katibu wa TWE, Nasobile 

ZOEZI LIMEANZA LA KUSAKA WAABUDISHAJI
Judges
Upendo Joseph
Mbeba maono ya Tanzania Worship Experience, Billionaire kulia
Sulemani Ahungu namba 31
Moneila Rafael namba 30
Glory Kameta namba 28
 Tumbo joto kwa washiriki
MC Sam Sasali akiwa anawatoa presha washiriki

MC Sam Sasali akiwapa tiba ya hofu kwa kuwachekesha washiriki, lakini mioyo yao ni migumu.
 Washiriki wakiwa katika kiti moto..

Katibu wa TWE, Nasobile akirekebisha muziki

 Mshiriki

Judges wakiwa kazini, kutoka kushoto ni Jessica Honnore, Emmanuel Mabisa
 Washiriki

MSHINDI WA TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE UEPENDO JOSEPH KUTOKA WILAYA YA KINNDONI AMSHUKURU MUNGU WAKE KWA USHINDI

Washiriki walioshiriki katika mchakato huu ni kutoka wilaya ya kinondoni, na idadi ya wshiriki walikuwa 36. 
Upendo Jose
Mshindi akiwa na mume wake Joseph
Mshindi alivyokuwa anajiandikisha


CREW YA TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE NDANI YA WAPO RADIO KATIKA KUHAMASISHA WATUMISHI WA MUNGU KUFIKA KATIKA ZOEZI LA KUTAFUTA "WAADUSHAJI" SIKU YA JUMAMOSI 26 MEI-THE ATRIUMS HOTEL SINZA AFRIKA SANA
 Mchungaji Charles Mbogoma (kushoto) na Mwenyekiti Makaranga wakiwahimiza wapenzi wa TWE kufika siku ya Jumamosi 26 Mei 2012 katika zoezi la kuwatafuta waimbaji wa nyimbo za kuabudu za ijnjili Tanzania katika hotel ya The Atriums iliyoko Sinza Afrikasana Sinza
Judge wa TWE, Emmanuel Mabisa akiwa na Grace Wangwe katika kituo cha Wapo Radio kwa uhamasishaji

Mchungaji C. Mbogoma akihamasisha watu kufika katika zoezi la kuwatafuta waabudishaji siku ya Jumamosi

Judge Emmanuel Mabisa akiwaomba watumishi wa Mungu kutokosa katika kazi ya Bwana

Mtangazaji wa Wapo Radio, Joyce akifurahia baada ya kuona crew la TWE likifanya kazi ya Bwana

 Mwenyekiti Makaranga akielezea maana ya TWE na jinsi gani ya kufika The Atriums Hotel katika zoezi zima la mchakato wa waimbaji




Tuesday, May 22, 2012

TANZANIA WORSHIP EXPERIENCE (TWE) KUMTAFUTA WAIMBAJI WA NYIMBO ZA INJILI ZA KUABUDU KATIKA HOTEL YA THE ATRIUMS AFRIKASANA, DAR ES SALAAM JUMAMOSI YA 26 MEI 2012 KUANZIA SAA 3 ASUBUHI-HAKUNA KIINGILIO.

KAMA UNAHISI UNAWEZA KUIMBA UNAKARIBISHWA NA PIA WATU WOTE WASIOWEZA KUIMBA MNAKARIBISHWA.
Tangazo limetengenezwa na Rulea Sanga +255 715 85 15 23 B/Pepe: rumatz2011@yahoo.com Blog: www.rumaafrica.blogspot.com

Sunday, May 20, 2012

TANZANIA WORSHIP EXPERINCE WAKIWA WAPO RADIO KUHAMASISHA WATU KUJIANDIKISHA KATIKA SAKATA LA KUWATAFUTA WATU WENYE UWEZO WA KUIMBA NYIMBO ZA KUABUDU
Wakihojiwa na mtangazaji wa Wapo Radio Joyce, wamesema kwa neema ya Mungu wamejipanga vizuri katika kuhakikisha zoezi hili linafanyika kwa haki. Mchungaji Charles Mbogoma amehimiza watu kufika kwa wingi siku ya jumamosi tarehe 26 Mei 2012 katika hoteli ya The Atriums iliyoko Sinza Afrikasana Dar es Salaam.

Naye Blooger Rulea Sanga amesema anahakikisha matukio yote yatakayokuwa yanatokea yatarushwa katika mitandao mbalimbali na katika radios naTV. Amesema kwa sasa unaweza kutembelea katika blogu hizi www.rumaafrica.blogspot.com au www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com

Makalanga alisema unaweza kujaza form ambazo zipo katika ofisi ya Unversal Inc maeneo ya Posta au ingia katika blogu ya www.tanzaniaworshipexperience.blogspot.com
 Mmoja wa judges, Emmanuel Mabisa
 Logistic na Katibu, Nasobile (kulia), akifuatia Mch. Mbogoma
 Mtangazaji wa Wapo Radio, Joyce
IT na blogger Rulea Sanga wa pili kutoka kushoto 
 Mchungaji Charles Mbogoma
 Mwenyekiti, Mkalanga

 Blogger na IT, Rulea Sanga

TWE POSTED TITLE

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...